iqna

IQNA

ghadir khum
Makala
Leo Ijumaa mwaka 1444 Hijria Qamaria sawa na 7 Julai 2023 inasadifiana na siku kuu ya Ghadir Khum ambayo ni idi kubwa ya Waislamu.
Habari ID: 3477248    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07

Qur'ani Tukufu inasemaje/19
TEHRAN (IQNA) – Akirejea kutoka katika Hijja yake ya mwisho, Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) alipokea aya kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambazo zilifungamanisha kukamilika kwa jumbe zote za Mwenyezi Mungu na ujumbe mmoja maalum.
Habari ID: 3475954    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha pendekezo la Jaji Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholam Hossein Mohseni Ejei la kupunguziwa vifungo au kuachiwa huru wafungwa zaidi ya 2,000 wa Kiirani.
Habari ID: 3475516    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/18

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA)- Jumatatu 18 Julai mwaka 2022 inayosadifiana na tarehe 18 Dhul-hija mwaka 1443 Hijria ni Sikukuu ya Idul Ghadir Khum, moja ya Idi kubwa za Waislamu.
Habari ID: 3475515    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

TEHRAN (IQNA)- Kwa mnasaba wa kuwadi siku kuu ya Idul Ghadir, kumefanyika sherehe ya kupandisha bendera ya Ghadir katika Haram ya Imam Ali (AS).
Habari ID: 3475507    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Suala la Ghadir ni kadhia ya kipekee katika historia ya mwanaadamu, na Mwenyezi Mungu hajalipa tukio lolote lile umuhimu mkubwa kuliko tukio la Ghadir Khum.
Habari ID: 3475506    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

TEHRAN (IQNA)- Leo Alhamisi tarehe 29 Julai mwaka 2021 inayosadifiana na tarehe 18 Dhul-hija mwaka 1442 Hijria ni Sikukuu ya Idul Ghadir Khum, moja ya Idd kubwa za Waislamu.
Habari ID: 3474138    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29

TEHRAN (IQNA)-Sherehe zimanza kufanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran na mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa nchi kwaa mnasaba wa kukaribia Siku Kuu ya Idul Ghadir.
Habari ID: 3474128    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26